MAN FONGO Chungu Tamu cover image

Paroles de Chungu Tamu

Paroles de Chungu Tamu Par MAN FONGO


Eeeh twende mwanangu Malota
Usiseme sijaonwa
Sema sijaona watu
Man Fongo wa miaka ya Kobe
Chidi Benzi, benzino
Eeh lalala..

Humo humo
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia

We inauma inaumiza
Inauma inaumiza, inauma inaumiza
Kaza buchi mwana kupandisha mrege
Nifate twende, acha uzembe
We nyumba na dera, kodi mwenge 
Toka chedua kurudi, taabani mahututi
Kichwa ni kizungumkuti

Anatapatapa anahangaika 
Hana pa kushika imebaki tantarira
Kilio henisi havuki, ndugu mamluki
Kifungo ndani ya suti, mameno sio mkuki
Niko imara kidara, kwenye msafara nang'ara
Na nina fans kibao, kama ukipenda unga tela
Kama ukipenda unga tela

Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia

Ushe ushe, ah blah yeah
Na hii ni money many more
Nini mimi we ndio soo
Stori zitaza dondoo
Mabizy domo jaza choo
Inauma mpaka huduma
Tuhuma zinasukuma
Na ndo maana umetuna
Na ndo maana huna

Utabaki kununa nuna nuna
Utakanyagwa kama bidhaa dada
Mwenye skuna
Acha uzembe, ogopa makali
Sio kisu babu wembe
Tunatafuna utamu na kama tende
Tunatafuna na hamu na kama mende

Ah chungu na utamu, nami hamu
Kila kitu unakijua, unakijua unafahamu
Usiogope kushinda unadinda
Watanue marinda zam zam 
Wakajaa kwenye msosi
Namtafuna nyang' nyang'
Yes, mikausho ka sanamu
Sham sham, sham sham
Vam vam, leta jam jam
Ah vam vam...

Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia
Chungu tamu, imezee imezee imezee
Kama ukiona donge na maji yapo shushia

Kwisha!
Eeeh twende mwanangu Malota
Usiseme sijaonwa
Sema sijaona watu
Man Fongo wa miaka ya Kobe
Chidi Benzi, benzino
Braah, braah, braah, bwiza

Wamotoka jahazi, mamoto yakawa
Beba mtoto funga leo mlango zamu ya Mani, funga
Usilete chujio maji ya duka(Maji ya duka eeh)
Shika fagio, mama inuka eeh(Mama inuka eeh)

Uti uvundo, weka wondo(Nikinukishe..)
Hapa ni ndondoka chumbani, ugali uishe
Mtu kati kinondoni wanaicheza
Mtu kati na Temeke wanaicheza
Mtu kati na Ilala wanaicheza
Mtu kati huoni watu wanaicheza

Masela, 
Haikai(Yeah), hatukai
Haikai(Yeah), hatukai
Haikai(Yeah), hatukai

Yechu yechu
Wahuni yechu yechu
Yechu yechu
Wanangu yechu yechu

Yechu yechu, yechu yechu
Wanangu haikai, hatukai
Mama wanangu, haikai hatukai
Humo humo, hatukai
Wika tena, yechu yechu
Mama mama, yechu yechu

Wanangu yechu yechu
Yechu yechu
Wanangu yechu yechu
Yechu yechu

Yechu yechu
Mama mamama

Ecouter

A Propos de "Chungu Tamu"

Album : Chungu Tamu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 29 , 2019

Plus de Lyrics de MAN FONGO

MAN FONGO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl