
Paroles de Siongei Nae
Paroles de Siongei Nae Par LOMODO
Siku hizi sionge nae
Siku hizi naishi mwenyewe
Siku hizi nalala mwenyewe aaahh
Kitambo mi siko nae kaniblock sichat nae
Siku hizi mi nalala mwenyewe
Na hata mkiniona barabarani
Naongea mwenyewe sababu ni yeye
Yaani kama mkiniona barabarani
Naongea mwenyewe sababu ni yeye
Kweli mapenzi uchizi kweli mapenzi ukichaa
Nakosa raha naongea mwenyewe
Jamani mapenzi uchizi mwenzenu nachanganyikiwa
Nakosa raha naumia eeehh
La la la la laah
Laa la la la iyeeh
La la la la laah
Yaani mwenzenu naumiaa
La la la la laah
La la la la laah
Na sio kama alipotaka kutoka
Na mashoga zake nilimkataa
Na hata kama alipotaka kitu
Sikumnyima Hapana nilimpa
Sasa yana faida gani mapenzi unajitoa kwa mtu
Mwisho unaambulia patupu patupu
Yaani lama fundi ujenzi nimemjengea mtu
Kwangu nabaki kapuku kapuku
Kweli mapnzi uchizi kweli mapenzi ukichaa
Nakosa raha naongea mwenyewe
Jamani mapenzi uchizi mwenzenu nachanganyikiwa
Nakosa raha naumia eeehh
La la la la laah
Laa la la la iyeeh
La la la la laah
Yaani mwenzenu naumiaa
La la la la laah
La la la la laah
Ecouter
A Propos de "Siongei Nae"
Plus de Lyrics de LOMODO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl