
Paroles de Lala Salama (Magufuli)
Paroles de Lala Salama (Magufuli) Par LINEX SUNDAY MJEDA
Bwana Mungu nashangaa kabisa
Nikitazama jinsi ulivyo
Unawachukua wapenda tunaowapenda
Na tukiwapenda unawapenda zaidi
Jina lako lihimidiwe
Nayaona machozi ya wanyonge
Uliowatetea wanakulilia
Lala salama Dr John Pombe Magufuli
Safari njema malaika wa Mungu akupokee salama
Mungu umlaze rais wetu wa Tanzania (Mahali pema)
Kipenzi cha watanzania
Umlaze rais wetu wa Tanzania (Mahali pema)
Shujaa wa Afrika
Nchi yangu imezizima kila kitu kimesimama (Simama)
Watu wote tunakulilia, na tuna huzuni mioyoni
Umeitikia wito wa Mungu baba aliyekuumba
Watanzania tukiwa bado tunakuhitaji
Ni vile kazi ya Mola hainaga makosa
Lala salama Shujaa wa Afrika
John Pombe Magufuli kipenzi cha watanzania
Na wasio pia watanzania
Umeacha alama mioyoni mwetu watanzania
Na africa kwa ujumla
Bwana ametoa lakini bwana ametwaa pia
Jina la Bwana libarikiwe AMEN
Lala salama, salama
Safari njema, safari njema
Mungu umlaze rais wetu wa Tanzania (Mahali pema)
Kipenzi cha watanzania
Umlaze rais wetu wa Tanzania (Mahali pema)
Shujaa wa Afrika
Ecouter
A Propos de "Lala Salama (Magufuli)"
Plus de Lyrics de LINEX SUNDAY MJEDA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl