
Paroles de Fuliza
Paroles de Fuliza Par LETEIPA THE KING
Nilikutunza kama mboni
Kama walenje mfukoni
Nilikupenda sana Wewe
Kisha ukaniacha mwenyewe
Kidonda changu hakiponi
Nakutafuta sikuoni
Kumbe ulibebwa na mwewe, ukaniachia kiwewe
Na kale kamia, Ulinitupia
Sijakatumia bado nakaangalia
Nikifikiria vile ulinichukulia
Kama sufuria ama kama ligunia
Nilikupa kila kitu, vya nje mpaka vya ndani
Nawe ukanipa jipu, kupona Mi sidhani
Ni kweli nahisi wivu, kukuona kwa Fulani
Penzi lishakuwa jivu, kuni ziliisha zamani
(Nine choke kuwa nawe,) my confidence
(Nawe ,) my self esteem
(Nawe , ) my holyness
(Nawe,) My future dream
(Nawe) My only space
(Nawe) My golden blings
(Nawe) Zote umezifuliza
(Nimechoka kuwa Nawe) Nirudishie ring yangu
(Nawe) hata kambuzi ketu kana kidole
(Nawe) bora nidate simu tangu
(Nawe) itanitreat better nipone
Nilikuenzi ka Kiba kwa Cinderella
Nikakupa penzi, kumbe ulichojali ni hell
Nikuhonge benz , magari ka ya telenovela
Na sina Centi kapuku kama mfungwa jela
Ila moyo wangu Nilikupa uniwekee
Ukaondoka na kuniachia upweke
Heartbroken moyoni Mi niteseke
Huku na kule Beshte zako wanicheke
Na kale kamia, Ulinitupia
Sijakatumia bado nakaangalia
Nikifikiria vile ulinichukulia
Kama sufuria ama kama ligunia
(Nine choke kuwa nawe,) my confidence
(Nawe ,) my self esteem
(Nawe , ) my holyness
(Nawe,) My future dream
(Nawe) My only space,
(Nawe) My golden blings
(Nawe) Zote umezifuliza
(Nimechoka kuwa Nawe) Nirudishie ring yangu
(Nawe) hata kambuzi ketu kana kidole
(Nawe) bora nidate simu tangu
(Nawe) itanitreat better nipone
(Nimechoka kuwa nawe) kweli Haya ni mapenzi ama uhusiano wa kibiashara
(Nawe) Kila mwisho wa mwezi nikupe tayari kukupa mshahara
(Nawe) Nimechoka siezi tazama mwenzako nilivyoparata
(Nawe) Miaka yangu Ni michache lakini tayari nishatoka kipara
Ecouter
A Propos de "Fuliza"
Plus de Lyrics de LETEIPA THE KING
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl