K2GA Unaniona cover image

Paroles de Unaniona

Paroles de Unaniona Par K2GA


Nilipata tabu kupata penzi lako
Huku kando ulisita moyo wako
Beki ya moyo funguo ipo kwako
Mimi mazima siwezi toka kwako

Jamani moyo wangu usijezima
Kulalamika ka ukilema
Kunipa penzi lako hata huruma huna
Unanitesa sana

Jamani moyo wangu usijezima
Unanitesa sana
Kunipa penzi lako hata huruma una
Unanitesa sana(Aaah ma)

Kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa(Inauma sana)
Na kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa

Sasa hivi unanuna(Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Hivi unanuna (Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Wasi wasi wa moyo nilonao
Moyo wako bado hujaona
Kuwa na wewe bado naona 
Uzito wa penzi lako uzani unagoma

Basi nipe sikio mi leo
Nisikie niyasemayo
Usinipeleke mbio saana
Kama hulitaki we sema

Maana hata raha sina(Sina)
Sina pa kupapasa sina(Sina)
Sina pa kushika sina(Sina)
Sina pa kuhemea sina(Sina)

Kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa(Inauma sana)
Na kitochi kibuti kumwagwa 
Kutoswa kutemwa

Sasa hivi unanuna(Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Hivi unanuna (Aha)
Dhamani mi sina(Aha)
Unavyonisema(Aha)
Sina maana tena(Aha)

Saa waniona, haa uniona
Hivi unaniona
Unaniona unaniona unaniona 

King’s music

(Respect)

Ecouter

A Propos de "Unaniona"

Album : Unaniona (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020 King's Music
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 08 , 2020

Plus de Lyrics de K2GA

K2GA
K2GA
K2GA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl