UPENDO NKONE Usalama Wangu cover image

Paroles de Usalama Wangu

Paroles de Usalama Wangu Par UPENDO NKONE


Usalama wangu lazima niwe nawewe Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu
Kwa kila jambo nalolifanya
Kwa kazi zangu za kila siku 
Usalama wangu lazima niwe na Yesu

Na hata kwenye huduma yangu
Majaribu yapo ni mengi
Kushinda kwangu lazima niwe na Yesu
Nikiwa kazini na wezangu
Wakinifanyia ubaya
Ushindi wangu najua niko na Yesu

Wakinisengenya chini kwa chini 
Wakinifanyia mabaya 
Mtetezi wangu najua niko na Yesu
Wakinizushia maneno, wakinifanyia ubaya 
Mtetezi wangu najua niko na Yesu

Wakinichongea kwa boss wangu
Wakitaka mimi nifukuzwe kazi
Mtetezi wangu najua ni Bwana Yesu
Na majaribu yakinipata
Yakiniumiza moyo wangu
Faraja yangu najua ni Bwana Yesu wee

Wakinitegea mitego na itawanasa wenyewe
Siogopi kitu najua ninaye Yesu
Wakinichimbia shimo, watatumbukia wenyewe
Sitaangamia sababu ninaye Yesu

Wakikusanyana kwa ubaya
Nikisingiziwa kesi
Mtetezi wangu najua ni Bwana Yesu
Wakienda kwa waganga, wakinifanyia uchawi
Hawataniweza sababu niko naye Yesu

Ninalindwa usiku na mchana
Malaika wamenizunguka
Mlinzi wangu najua ni Bwana Yesu
Wakiniwekea sumu, wakitaka kunimaliza
Mponyaji wangu najua ni Bwana Yesu
Na maneno yao siyaogopi 
Na vitisho vyao siviogopi
Usalama wangu najua ninaye Yesu

Usalama wangu lazima niwe nawewe Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu
Usalama wangu lazima niwe nawewe Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu

Usalama wangu lazima niwe nawewe Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu
Usalama wangu lazima niwe nawewe Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu

Na Yesu, Na Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu
Na Yesu, Na Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu

Na Yesu, Na Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu
Na Yesu, Na Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu

Na Yesu, Na Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu
Na Yesu, Na Yesu
Usalama wangu lazima niwe na Yesu

 

Ecouter

A Propos de "Usalama Wangu"

Album : Usalama Wangu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jan 16 , 2021

Plus de Lyrics de UPENDO NKONE

UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE
UPENDO NKONE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl