JUX Unaniweza cover image

Paroles de Unaniweza

Paroles de Unaniweza Par JUX


(Abbah)

Pindi ukicheka we
Mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororoo
Ila ukilia we
Hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi dororo

Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Sitamani mwingine
Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto moto
Labda upite ushetani mwingine
Maneno ya watu nishazoea i don’t care
Kila kukicha chokochoko
Unavyonipa rahaa
Ndo na nenepa mie
Penzi lako na tinga na ringa na bembea
Kinachokufaaa
Usisite niambie
Kwako niko radhi, hata zege nibebe machinga ni nadishee

Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Unaniweza weza
Yeiyeeee, I do it for love, For love
Unaniweza weza
For love , For love , I do it for love
Yeeeee
Unaniweza weza

Ecouter

A Propos de "Unaniweza"

Album : Unaniweza (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 AfricanBOY
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 01 , 2019

Plus de lyrics de l'album The Love Album

Plus de Lyrics de JUX

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl