JOHN NYAMBU  Tembea Nami cover image

Paroles de Tembea Nami

Paroles de Tembea Nami Par JOHN NYAMBU


Mi naomba kwa yote safari
Utatembea nae nami 
Katika uovu nalo giza 
Yesu we unilinde

Nikae nawe Kristo
Mi nataka kuwa na wewe
Katika kila jambo na hali 
Yesu tembea nami

Tembea Nami
Usinawache pekee 
Nishike wangu mkono 
Uniongoze

Si mara moja au mbili 
Naomba uniongoze wakati wote
Ninapohisi upweke 
Uwepo wako uwe hakikisho Unami

Sitachoka kungoja na kuamini
Uliyo yasema kwangu mimi
Mapenzi yako pekee ewe Yesu
Mimi naomba yatimie (Tembea nami)

Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze
Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze

Hatua za mwenye haki
Zaongozwa na wewe Bwana 
Unarejesha Nguvu 
Kwa waaminie ndani yako

Sina uwezo
Mi naomba nguvu zako
Peke yangu mimi
Siwezi kufika mwisho

Mwenye nguvu, uwezo, tembea nami 
Watembeao nawe mwisho wa safari hufika
Mwenye nguvu, uwezo, tembea nami 
Watembeao nawe mwisho wa safari hufika

Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze
Tembea nami, usinawache pekee 
Nishike wangu mkono, uniongoze

Nikae nawe Kristo
Mi nataka kuwa na wewe
Katika kila jambo na hali 
Yesu tembea nami

Nikae nawe Kristo
Mi nataka kuwa na wewe
Katika kila jambo na hali 
Yesu tembea nami

Ecouter

A Propos de "Tembea Nami"

Album : Nitakuabudu (Album)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Feb 04 , 2021

Plus de lyrics de l'album Nitakuabudu

Plus de Lyrics de JOHN NYAMBU

JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU
JOHN NYAMBU

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl