
Paroles de Hakuna Gumu Kwako
Paroles de Hakuna Gumu Kwako Par JOHN LISU
Wewe ndiwe Mungu wastahili utukufu
Umefanya mengi ya ajabu
Wewe ni mfalme
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Ulitembea juu ya maji YESU
Hakuna gumu kwako
Wafanya njia pasipo na njia
Hakuna gumu kwako
Na wagonjwa wanapona YESU
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Kuta za gereza zatingizika
Minyaroro yakatika
Wafungwa wafunguliwa Yesu
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Mashtaka yetu yamefutwa
Vita vyetu ni juu ya Bwana
Falme zitainuka, falme zitaanguka
Bali ufalme wako wadumu
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Hakuna gumu kwako Yesu
Hakuna gumu kwako
Milima yayeyuka kama nta mbele zako
Wanguruma kama radi wewe Mungu mwenye nguvu
Uliumba pasipo wewe kuumbwa
Wewe ni mfalme
Ecouter
A Propos de "Hakuna Gumu Kwako"
Plus de Lyrics de JOHN LISU
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl