JOEL LWAGA Ngome cover image

Paroles de Ngome

Paroles de Ngome Par JOEL LWAGA


Yafanikiza na nyota za mwanga
Hakuna kile ninokuwa cha macho
Imegauka 

Mali na fedha na vitu vya dhamani
Vimetoweka
Marafiki na wote walionipenda
Wamepotea

Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka 
Gharika na mvua kucheki inazama

Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 

Nilidhani furaha ni watu wakikusifu
Kumbe furaha ni Yesu moyoni yakikusibu
Udhamani haupo kwa vitu visivyodumu
Ila ni nguvu ya kutabasamu hata patupu

Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka 
Gharika na mvua kucheki nazama

Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 

Nimesimama imara (Eeh)
Hofu imeteka nyara (Eeh)
Rohoni niko salama (Eeh)
Na Yesu mwamba imara (Eeh)

Nimesimama imara (Eeh)
Hofu imeteka nyara (Eeh)
Rohoni niko salama (Eeh)
Na Yesu mwamba imara (Eeh)

Giza mara hii limetawala
Jua limezama mchana
Mwezi umegoma kutoka 
Gharika na mvua kucheki inazama

Nuru toka ndani yamulika
Nguvu ndani yangu yainuka
Amani ipitayo akili
Na nguvu za mwili inanipa kucheka

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Aliye ndani yangu
Ni mkuu sana kuliko walimwengu
Ndiye ngome yangu 
Na ushindi wangu katika majaribu

Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu 
Mimi sitaki mwingine ndiye anayenifaa 
Sitaki mwingine ninaye tu

Ecouter

A Propos de "Ngome"

Album : Thamani EP (EP)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Aug 01 , 2020

Plus de lyrics de l'album Thamani (EP)

Plus de Lyrics de JOEL LWAGA

JOEL LWAGA
JOEL LWAGA
JOEL LWAGA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl