Paroles de Mifupani
Paroles de Mifupani Par JOEL LWAGA
Unipae afya mifupani mwangu
Ninakuamini, ninakuamini
Nimekujua na nimekuona
Ninakuamini, ninakuamini
Unipae afya mifupani mwangu
Ninakuamini, ninakuamini
Nimekujua na nimekuona
Ninakuamini, ninakuamini
Tumaini langu ni wewe tu, ni wewe tu
Msaada wangu ni wewe tu, ni wewe
Kimbilio langu ni wewe tu, bwana ni wewe
Mungu wangu ni wewe tu, ni wewe tu
Unipae afya mifupani mwangu
Ninakuamini, ninakuamini
Nimekujua na nimekuona
Ninakuamini, ninakuamini
Tumaini langu ni wewe tu
Msaada wangu ni wewe tu
Kimbilio langu ni wewe tu
Mungu wangu ni wewe tu
Japo machozi yananitiririka
Ila acha yatoke yasafishe macho
Ili nikuone wewe tu, wewe tu
Wewe tu, nikuone wewe tu
Nikujue wewe, zaidi
Kupitia haya, zaidi
Nikujue wewe, zaidi
Wewe unipae ...
Unipae afya mifupani mwangu
Ninakuamini, ninakuamini
Nimekujua na nimekuona
Ninakuamini, ninakuamini
Unipae afya mifupani mwangu
Ninakuamini, ninakuamini
Nimekujua na nimekuona
Ninakuamini, ninakuamini
Msaada wangu ni wewe tu
Kimbilio ni wewe tu
Mfariji wangu ni wewe tu
Msaada wangu ni wewe tu
Mfariji wangu ni wewe tu
Wewe tu, wewe tu
Nitakuona wewe tu, wewe tu
Kanisani nitakuona wewe tu
Nimekujua na nimekuona
Nimekuamini, nimekuamini
Ecouter
A Propos de "Mifupani"
Plus de lyrics de l'album Trust (EP)
Plus de Lyrics de JOEL LWAGA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl