
Paroles de Sambaloketo
Paroles de Sambaloketo Par JAY MELODY
Oh lala... (Mr LG)
Oh ananipa changamoto kila muda namuwazia
Hadi nakua ka mtoto navyopelekwa nakwambia
Penzi Lina nchanganya sweet anawasha moto
Iko kipigo mkong'oto punguza Kasi naumia
Ah ah! Oh ma baby nzela oh nzela wa njenje (Njenje)
Nipe akapela ya utamu wa embe mbe (Embe)
Oh ma baby nzela yoh nzela wa Zoro (Zoro)
Nipe akapela uponye huu moyo eya aaah
Samba loketo, sambaloketo
Samba loketo, sambaloketo
Kaniminya kaniminya
Kanibana kanchota mzima
Kichwani najaa mawenge Ana uchezesha mtima
Mwenzako napenda vibaya
Sijakupenda bahati mbaya
Nadata nakoma na haya
Unanifanya kitu mbaya yayayah
Oh ma baby nzela oh nzela wa njenje nje (Njenje)
Nipe akapela ya utamu wa embe mbe (Embe)
Oh ma baby nzela yoh nzela wa Zoro (Zoro)
Nipe akapela uponye huu moyo Eyaa ah
Samba loketo, sambaloketo
Samba loketo, sambaloketo
Ecouter
A Propos de "Sambaloketo"
Plus de Lyrics de JAY MELODY
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl