
Paroles de Hawatoi
...
Paroles de Hawatoi Par JAY MELODY
Zheh
Naitwa nani vile
Jay once again
Onhoooo
Umaskini unafanya nazidi pambana
Tena najua kule nilipotoka na ninachofanya
Halafu mungu nae ananibariki usiku mchana
Wanaoniombea mabaya hawajakosekana
Iyo mishale yao ah
Mi naikwepa
Kwanza shauri zao
Wanavyoteseka
Na kimpango wao
Mi ndo nasepa
Nikikutana nao
Ndo kwanza nacheka
Hawatoi hawatoi
Hata sifa hawatoi
Hawatoi hawatoi
Hata heshima hawatoi
Wamejukausha
Wamenuna
Wamejukausha
Kama hawanioni vile
Wamejukausha
Wamenuna
Wamejukausha
Kama hawanioni vile
Uzito ndo tatizo eti
Wanataka niwe mwepesi
Wanasema sieleweki
Si washajua siendeshwi
Wanafanya mpaka upelelezi
Anaishi wapi mbezi
Binadamu mna mengi
Kwendeni kudadeki
Anhaaaa
Hawachoki kila siku
Anhaaaaa
Wananitafuta kitu
Anhaaaa
Hawachoki kila siku
Anhaaaaa
Wananitafuta kitu ahooo
Hawatoi hawatoi
Hata sifa hawatoi
Hawatoi hawatoi
Hata heshima hawatoi
Wamejukausha
Wamenuna
Wamejukausha
Kama hawanioni vile
Wamejukausha
Wamenuna
Wamejukausha
Kama hawanioni vile
Ecouter
A Propos de "Hawatoi"
Plus de Lyrics de JAY MELODY
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl