
Paroles de Wote
Paroles de Wote Par HARMONIZE
Mwenzako zikianza story za mapenzi
Mfano wakwanza Ni wewe
Hadi marafiki zangu wananicheka
Naukumbuka ushenzi
Tulofanyaga mi nawe
Mwenzako mi nakuonea vibwenga
Hata wakisema maneno ni bure
Maana nyani halionagi kundule
Wanachotaka tuachane uzurure
Watucheke kikowapi
Ujana una mengi na mengine na mi nimefanya
Siwez danganya nishamaliza
Kila niliempaga moyo autunze
Basi aliugawanya ona nilihanya ikaniumiza
We unanijali unanivumilia
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yeah mule kuhan
Unanipenda
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Mapenzi sa ukiondoka nitabaki na Nani
Mapenzi ukibaki nitaondoka na Nani
Siwezi peke yangu
Yea
Mama ukiongeza nitajinenepea
Unavyo nigombeza nakuona una care
Eti hatujapendeza wanatufokea
Mi I don’t care ndo nishakolea
Kipofu nishaona mwezi vurugu vurugu siwezi
Leo sinza kesho kinyerezi
Mara mbezi Ujana una mengi na mengine na mi nimefanya
Siwez danganya Nishamaliza
Kila niliempaga moyo autunze
Basi aliugawanya ona nilihanya Ikaniumiza
We unanijali unanivumilia
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
Yeah mule kuhan
Unanipenda
I wish tuzeeke wote
I wish tuzikwe wote mmoja akifa kesho
I wish I wish
I wish I wish
Mapenzi sa ukiondoka nitabaki na Nani
Mapenzi ukibaki nitaondoka na Nani
Siwezi peke yangu
Ecouter
A Propos de "Wote"
Plus de Lyrics de HARMONIZE
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl