HAMADAI Tukatiane cover image

Paroles de Tukatiane

Paroles de Tukatiane Par HAMADAI


Habiti, ai sweety
Jina gani unapenda wewe? Ai wewe
Wapi tufanye kwichi kwichi
Chumbani ama kwenye miti miti?

Nakusikiza wewe, yaani wewe
Watembea na roho yangu 
Mimi nimebaki kivuli tu
Wanyaku wambie wametoka kapa

Ah penzi umelitia pingu
Umeongeza na kufuli huku
Hadi utakapo mwenyewe 
Ndo mambo swadakta

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Nitakufuata fuata kwa vipochi pochi
Manoti noti, wakatae
Wakikukosa kwa chenga watakupiga dochi
Wamalize mechi, usizubae

Unastahili
Nikupatie japo shoti mbili
Ulewe, ulewe

Mtaani saga kachiri 
Na mimi nipate japo viwili
Nilewe, nilewe

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Usinivunje mwenzio(Sawaa)
Usinionee mwenzio(Sawaa)

Tunda la mti kati(Sawaa)
Kula lote lisibaki(Sawaa)
Beiby wa wasiwasi 
Umeutoa wapi?

Achana na pipi basi(Sawaa)
Utamu wa ndizi karoti(Sawaa)
Si nimeleta koni
Umeificha wapi?

Sawaa, sawaa, sawa sawa 

Ecouter

A Propos de "Tukatiane"

Album : Tukatiane (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 Kwetu Studios
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 05 , 2019

Plus de Lyrics de HAMADAI

HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl