FRED OMONDI Patikana(Katika Parody) cover image

Paroles de Patikana(Katika Parody)

Paroles de Patikana(Katika Parody) Par FRED OMONDI



Yeah yeah
yeah yeah yeah nor yeye
Yeah yeah
yeah yeah yeah nor yeye

Nimepatika patikana
Patika patikana
Nimepatika patikana

Nilienda cheza rhumba
Teingi kati kidogo
Mifuko nina mabunda
Njoro akaja na Cynthia, ni yeye

Akaenda choo oh oh oh
Akawaongeza more oh oh oh
Akainama ni yeye Claire
Akitingisha kanungo oh oh oh

Akani-winkia one time(ni yeye)
Akanifeel videadly(ni yeye)
Akasema duka hajafunga(ni wazi)
Mali kibao nitapata, twendeko

Akani-wink ia one time(ni yeye)
Akanifeel videadly(ni yeye)
Akasema duka hajafunga
Achwade palala lala lala

Nimepatika  patikana
Patika patikana
Nimepatika patikana

Nimepatika patikana
Patika patikana
Nimepatika patikana

Okey arrup
Si ulikafunga vindii,
Duka ndi ndi ndi
Nikaumia tu mi mi mi
Campus ata we Roysambu mbu mbu
Kaomba shisha ashikishe tu

Nikahisi nikatambe
Ana nyege ka karao
Akarambo na kanambo
Kanipa namba kimpango

Kaweka mchele pombeni
Kanifanya kobe
Nikapoteza fahamu
Kadhani ni wewe

Baby don't go oh oh oh
Utaniumiza roho oh oh oh
Wangu maembe dodo oh oh oh
Tutaishi mlongolongo oh oh oh

Ona wee wewe unanikemea(kemea)
Na we ulinichezea(chezea)
Wacha we kunitetesha(tetesha)
Cheki alikupiga wembe

Nimepatika patikana,
Patika patikana
Nimepatika patikana

Nimepatika patikana,
Patika patikana
Nimepatika patikana

Maumivu naugulia
Kichwa umegonga nahisi hangover
Na damu inatiririka
Dhiki moyoni nimepata mtetemo

Na una nini kwa mkono joh(mawe)
Umemgonga kisogo joh(mawe)
Na una chocha maporojo(nawe)
Ka ni mkwanja anazo joh(nawe)

Uwache kumkelele lelesha
Uende dinner hata Kileleshwa
Na duka tena usiwai funga
Umpe lolo na msonge mbele

Mkalaze kwa bedi mbonge(katambe)
Akupigishe randa(katambe)
Na una body kinyama(katambe)
Burungo zitambamba(katambe)

Hatapatika
(The Omondi's)  

Hatapatika patika eeh
Patika patika eeh
Hatapatika patika eeh
Patika patika eeh

 

Ecouter

A Propos de "Patikana(Katika Parody)"

Album : Patikana (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : All rights to the owner
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 18 , 2019

Plus de Lyrics de FRED OMONDI

FRED OMONDI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl