DJ SEVEN Peace & Love cover image

Paroles de Peace & Love

...

Paroles de Peace & Love Par DJ SEVEN


Asante Mungu kwa kila siku unayotuingezea

Ni wazi kabisa kwamba unatupendelea

Kama makosa mbona daily tunakukosea

Upendo wako kwetu ni mkubwa nashindwa kuelezea

Viumbe wako wanaishi kwa visasi

Kuonyeshana love and peace hawataki

Dunia ingetawaliwa na mioyo safi pengine kusengekuwa na polisi na risasi

Yaani kitu sio kitu tunachangiana

Ndugu mmoja kwa mwenzio mapenzi hana

Kwenye kutafuta riziki kuna mengi sana

Wapo wanaopenda utoboe

Wapo ambao hawapendi bwana

I wish tungeishi kwa peace and love

Everyone would have a decent life

Mitaani kwote kuzagae kiss and hugs

Tungeiweka hii dunia into different vibes

So let’s depend on prayers

God will lead us on the way out

And if we do good stuff when we get there

Only good stuff he gonna pay us

Tunavoishi wala so dunia inavyotaka

Ila tumependa wenyewe

Na ni rahisi we kubadilika kuanzia sasa

Change good kuishi peace and love

Yeah peace and love

(...)

Ecouter

A Propos de "Peace & Love"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Apr 03 , 2025

Plus de Lyrics de DJ SEVEN

DJ SEVEN
DJ SEVEN
DJ SEVEN

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl