
Paroles de Liwe
Paroles de Liwe Par DJ IKE
Tatizo uzuri wako
Umekupanda kichwani mwako
Unaona unihitaji
Wengi wanaokutaka wapo
Kutwa roho juju
Unatishia kuondoka kwako
Subutu ole wako, olewaaakoo
Mapenzi amani ya moyoni
Ondoka kama hatuendani
Mimi sibishani na wewe
Ninapoteza imani
Laiti kama ungejua
Ungenipa tumaini tama nisikate
Kama haitokula kwako nami sijali
Elewa wapo madem wananitamani
Chunga ndomo wako tahadhari
Usijenirudishaa kwa anasa za dunia
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
If you want to go, go
If you want to stay, stay
If you want to go, go
Tusirushane roho
Tena pengue tu kwa ndoto
Ukidhani ntakufatilia
Yamenifika hapa kwenye koo
Mdomoni yanakaribia
Mapenzi amani ya moyoni
Ondoka kama hatuendani
Mimi sibishani na wewe
Ninapotreza imani
Laiti kama ungejua
Ungenipa tumaini tama nisikate
Kama haitokula kwako nami sijali
Elewa wapo madem wananitamani
Chunga ndomo wako tahadhari
Usijenirudishaa kwa anasa za dunia
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
Liwalo na liweee
If you want to go, go
If you want to stay, stay
If you want to go, go
Tusirushane roho
Ecouter
A Propos de "Liwe"
Plus de Lyrics de DJ IKE
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl