
Paroles de Kijito cha utakaso
Paroles de Kijito cha utakaso Par DIANA SARAKIKYA
Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu
Bwana anao uwezo kunipa wokovu
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso
Viumbe vipya naona damu ina nguvu
Imeharibu uovu ulionidhulumu
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso
Ni neema ya ajabu kupakwa na damu
Na Bwana Yesu kumjua Yesu wa msalaba
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakas
Ecouter
A Propos de "Kijito cha utakaso"
Plus de Lyrics de DIANA SARAKIKYA
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl