...

Paroles de Kuna Par DIAMOND PLATNUMZ


Wenzako waolewa we huolewi kwani we

Ati una hila moja huseni na majirani we

Sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe

Sema na hila ya tatu midabwada kitandani we

Sema na hila ya nne mwenzetu nchafu ndani we

Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eeh

Kanijengee kibanda kwenu wataniua

(kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eeh

Kanijengee kibanda kwenu wataniua)

Kanijengee kibanda udugu wangu eeeh eeh eh

Kanijengee kibanda shoga zako wataniua

(kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eeh

Kanijengee kibanda kwenu wataniua)

Lalilo lilo eeeeh, pambe tu

Lololololo lololololo

Lali lali lali laa lali lali lili lalii

Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

(jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi)

Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi

(jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi)

Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote zoazoa lakini toss umezidi

(jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi)

Ooh oh, jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh

Watu wote wachepuka lakini lizer umezidi

Acha nicheze mie

(na watu wangu jangwani nalia)

Ohhhh acha niringe mia

(na watu wangu jangwani nalia)

Aaaah aaah aah acha nicheze mie

(na watu wangu jangwani nalia)

Acha nijishaue shaue

(na watu wangu jangwani nalia)

Oooh lolilo lilo eeeh

Kuntu mambo hayo

Alolololo lolo loloooo

Aah eeh mama mwanangu ooh

(mama mwanangu ooh)

Aah mama mwanangu ooh

(mama mwanangu ooh)

Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijui

Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijui

Waniacha napinda mgongo we; mbona usiniambie

Aah waniacha napinda mgongo we, mbona usinniambie

Jamani mi naumwa eeh eeh eeh naumwa

Naumwa ooh ooh oh, naumwa aaah naumwa

Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole

(naumwa eeh eeh eh, naumwa

Naumwa ooh ooh oh, naumwa aaah naumwa

Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole)

Jamani mi naumwa eeh eeh eeh naumwa

Naumwa ooh ooh oh, naumwa aaah naumwa

Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole

(naumwa eeh eeh eh, naumwa

Naumwa ooh ooh oh, naumwa aaah naumwa

Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole)

Naumwa kijipu upele jama, naumwa huniambii pole

Oyaa mwafulani wee (khaaaa)

Ooh mwafulani usitukane dangaji nakuambia aaah

Huo udangaji kaunaza dadayo kuutumia

Ukiona mwana wa mwenzio budege

(na wako vilevile, na wako vilevile)

Aah aah ukiona mwana wa mawenzio mchele

(na wako vilevile, na wako vilevile)

Ukiona mwana wa mwenzio shangingi

(na wako vilevile, na wako vilevile)

Aaaah lilo lilo eeh tamu

Nipeni barua yangu (niisome)

Nipeni barua yangu (niisome)

Nipeni barua yangu (niisome)

Jamani barua yangu (niisome)

Jamani barua yangu (niisome)

Naitaka barua yangu (niisome)

Barua jama barua eeh (niisome)

Barua ya bwana ndnai eeh (niisome)

Barua jama barua eeh (niisome)

Barua ya bibi ndani eeh (niisome)

Barua ifike vyema eeh (niisome)

Barua mama barua aah eheeeh eh eh

Oooh nyie wana dar es salama embu acheni umbumbumbu

Nyie wana dar es salama embu acheni umbumbumbu

Shariti ni kuinama ukitaka cha uvungu

Asa mbona wapata bwana halafu humpi

Naombeni barua yangu (niisome)

Naitaka barua yangu (niisome)

Niisome barua yangu (niisome)

Barua jama barua eeh (niisome)

Aaaaaaaah eeeeeeeehh

Jamani kuna kijiti kimoja kwa jina sitokitaja

Ukiona chasimama ujue chataka haja

Ukiona kimelala kisha ghafua mapaja

Jamani wewe

Nipeni barua yangu (niisome)

Naitaka barua yangu (niisome)

Nipeni barua yangu (niisome)

Barua jama barua eeh (niisome)

Barua ya mwana ndni eeh (niisome)

Barua jama bahaba eeh (niisome)

Naitaka barua yangu (niisome)

Niisome barua yangu (niisome)

Barua jama bahaba (niisome)

Mahaba jama ya muhiba (niisome)

Aaaaaaaaaahh eeeeeeeeeehhhh

Jamani kuna mama kuna (kuna)

Kuna mama kuna (kuna)

Kuna nazi kuna (kuna)

Kuna mama kuna (kuna)

Kuna kinyume nyume (kuna)

Kuna kinyume nyume (kuna)

Kuna kimbele mbele (kuna)

Kuna kati kwa kati (kuna)

Kuna kinyume nyume (kuna)

Hasa ku ku kuku, kukuku ku ku kuku kuku

Eeh ku ; eeeh ku, eeeh ku, ku ku ku ku

Jamani kampata sharubaro jama kampeleka nyumbani

Muda wa kumpa mambo kamvalia miwani

Kule hakupaona kafanya kwa pajani

Jamani kuna sasa kuna (kuna)

Kuna embu kuna (kuna)

Kuna mama kuna (kuna)

Kuna dada kuna (kuna)

Ricardo mom kuna (kuna)

Esma twende kuna (kuna)

Oooh udangaji udangaji jama ni habari ya mujini

Wenzako wapewa nyumba kwa magari ya injini

Hivi we dangaji gani hadi leo walala ghini

Ngoja embu kwanza kuna (kuna)

Jifunze kukuna (kuna)

Kwa kushoto kuna (kuna)

Kwa kulia kuna (kuna)

Haya ku ku kuku, kukuku ku ku kuku kuku

Eeeh ku, eeeh ku, eeh ku ; ku ku ku

Aaaaaaah eeeeeeeeehhhhh

Aaah aaah aaaaaaah aaaah

Ooh utaniweza wapi utundu niemeanza zamani mie

(utaniweza wapi utundu niemeanza zamani mie)

Ooh utaniweza wapi kuchepuka niemeanza zamani mie

(utaniweza wapi kuchepuka niemeanza zamani mie)

Oooh utaniweza wapi madanga niemeanza kitambo mie

(utaniweza wapi kuchepuka niemeanza zamani mie)

Oooh utaniweza wapi mjini napajua kitambo mie

(utaniweza wapi kuchepuka niemeanza zamani mie)

Hasa nataka dodoa (haya dodoa)

Nataka katika (haya katika)

Jama najojoa (haya jojoa)

Hamu yanishika (haya dodoa)

Oooh nataka dodoa (haya dodoa)

Eeh nataka katika (haya katika)

Jaama najojoa (haya jojoa)

Hamu yanishika (haya dodoa)

Mama nataka nilewe

(ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe)

Ooh jama nataka nilewe eh

(ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe)

Aaah hasa nataka dodoa (haya dodoa )

Jamani nataka katika (haya katika)

Aaah jama najojoa (haya jojoa)

Hamu yanishika (haya dodoa)

Naataka dodoa (haya dodoa)

Jama nakatika (haya katika)

Ona najojoa (haya jojoa)

Hamu yanishika (haya dodoa)

Pambee eeeh

Ecouter

A Propos de "Kuna"

Album : (Single)
Année de Sortie : 2025
Copyright :
Ajouté par : Farida
Published : Apr 19 , 2025

Plus de Lyrics de DIAMOND PLATNUMZ

DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ
DIAMOND PLATNUMZ

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl