DERICK MARTON Peke Yako cover image

Paroles de Peke Yako

Paroles de Peke Yako Par DERICK MARTON


Nanyoosha mikono yangu juu!
Nanyoosha mikono yangu juu!

Nanyoosha mikono yangu juu
Kukusifu na kukuabudu
Nanyoosha mikono yangu juu
Kukusifu Mungu wa miungu

Uwezo wako, matendo yako 
Ni dhahiri juu ya ukuu wako 
Neema yako, rehema zako 
Ninajua ni sababu ya pendo lako 

Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili 
Kanuni zako hakuna wa kubadili 
Unafanya mchana,usiku, alfajiri 
Jina lako ni Niko ambaye Niko 

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa 
Kuabudiwa ni wewe 
Wewe Uko juu umeinuliwa 
Wa kushangiliwa ni wewe

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa 
Kuabudiwa ni wewe 
Wewe Uko juu umeinuliwa 
Wa kushangiliwa ni wewe

Haulinganishwi haufanishwi 
Na chochote “ehhe eeh”  
Jehova Nissi 
Mimi bila wewe si lolote 

Haulinganishwi haufanishwi 
Na chochote “ehhe eeh”  
Jehova Nissi 
Mimi bila wewe si lolote 

Watawala milele watawala milele 
Watawala milele peke yako oh
Unadumu milele unadumu milele 
Unadumu milele peke yako oh

Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe 
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe 
Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe 
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe


Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe 
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe 
Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe 
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe

Nani kama wewe eeh 
Nani kama wewe baba nani kama wewe
Nani kama wewe eeh 
Nani kama wewe baba nani kama wewe

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa 
Kuabudiwa ni wewe 
Wewe Uko juu umeinuliwa 
Wa kushangiliwa ni wewe

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa 
Kuabudiwa ni wewe 
Wewe Uko juu umeinuliwa 
Wa kushangiliwa ni wewe

Watawala milele 
Watawala milele peke yako oh
Unadumu milele, unadumu milele
Unadumu milele peke yako oh

Ecouter

A Propos de "Peke Yako"

Album : Peke Yako (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Mar 14 , 2020

Plus de Lyrics de DERICK MARTON

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl