CHIDI BEENZ Natubu cover image

Paroles de Natubu

Paroles de Natubu Par CHIDI BEENZ


Mola nipende usije nichukia
Najua mi ni mzembe mengi napuuzia
Usiniache niende siko nzuri njia
Juhudi nije kwako goti kukupigia

Najua hunisahau bado upo nami
I believe that hata napokuwa njiani
Mengi unasafisha na kunitoa gizani
Huwa sipendi kukosea namshutumu shetani

Kipi nifanye ili nilinge
Nikudharau, nani mwingine anilinde?
Natubu sasa sitaki kuja sema ninge
Mi ni mja wako usinitupe unilinde

Maana mi nina issue, issue tu, issue tu
Miezi nane sijaswali lakini leo inabidi tu
Nani anaiongopea dira yake ipotee
Niwezeshe nimwone ili nimkembe

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Mi sio tajiri sio low class
Nipo kati nitakacho naweza pata naweza kosa
Mwenye kuchacha dhawabu
Wingi wa makosa mi naamini 
Sifa ndo sometimes zanipoteza
Nawaza siku ya mwisho, nina mengi ya kutubu
Nipunguzie mi japo nisije kuwa bubu

Niokoe niweze kukumbusha hata Ayubu
Mali yangu Paulo -- na ya bubu
Najua natembea ila zote nguvu zako
Najua naongea ila yote maneno yako
Napochanganya -- huwa shetani ananimix
Lakini - nguvu zako sitompa wa urahisi

Usiniache nipotee, mwovu niendelee
Mi si kitu mbele yako hata ndotoni unikemee
Nisipoteze dira nionyeshe njia mapema
Nisafishe niwe kama niliyezaliwa tena

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Eeeh Mola dunia hii inakwisha
Tunauana kwa upumbavu na visa
Tamaa za madaraka kugombania nyadhifa
Swala kushangaa kuona damu inamwagika

Magonjwa yanazidi, maisha yanabana
Vifo vya mapema kwa watoto na vijana
Ndio kutusamehe umeshatusamehe sana
Na una zaidi ya hasira na hizi ni kama laana

Lakini bado tunataka rudi kwako sisi
Ingawa najua itakuwa sio rahisi
Tupunguzie japo haya mabalaa
Shetani katuzunguka ukimkimbiza anakataa
We ni zaidi ya yote muumba wa dunia 
Wanadamu twendeni wote kumsujudia
Tumwombe atusamehe haya, asamehe madhambi yetu
Asitoke aendelee kuwa ndani ya mioyo yetu

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi

Aaah aki ya Mungu natubu
Na naacha hata mavurugu
Mi minapunguza visasi
Punguza maasi narudi kwako kwa kasi Baba

Ecouter

A Propos de "Natubu"

Album : Natubu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Dec 23 , 2019

Plus de Lyrics de CHIDI BEENZ

CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl