
Paroles de Matamu
...
Paroles de Matamu Par CHEED
Yani penzi limeiva biu biu
Ndani linanimaliza kiu kiu
Tukowapi maana huku sio duniani ah
Hizi raha unazonipa
Hazipatikani duniani hii ah
Yukowapi kungwi alokufunda unyagoni ah
Zawadi yake ntampa ah
Penzi tamu sukari guru
Napata matamu moyo uko hurueehii
Tabasamu usoni unanuru
Wanipa vitamu napiga ndurueh
Lako penzi linanichanganya (changanya)
Kukuacha me siwezi
Ona unavyo nivuruga (weh hayah)
Ha aah yaah matamu matamu
Anayonipa huyuuh
Matamu matamu
Ha ah yaah matamu matamu
Anayonipa huyuuh
Matamu matamu
Yabara na pwani pemba visiwani
Usimpimieh
Tuko mahabani nyinyi kitu gani
Ni yeye na mieehii
Jamani mapemzi ya kweli yaponyinyi
Napewa gizani mwangani
Raha mpaka utosini
Penzi tamu sukari guru
Napata matamu moyo uko hurueehii
Tabasamu usoni unanuru
Wanipa vitamu napiga ndurueeh
Lako penzi linanichanganya (changanya)
Kukuacha me siwezi
Ona unavyo nivuruga (weh hayah)
Ha aah yaah matamu matamu
Anayonipa huyuuh
Matamu matamu
Ha aah yaah matamu matamu
Anayonipa huyuuh
Ecouter
A Propos de "Matamu"
Plus de Lyrics de CHEED
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl