Paroles de Orosho Par BOONDOCKS GANG


Fikisha aiii kwani unamedi
Ivisha aiii kwani we ni pedi
Hadai aiii kwani machedi
Naingiza aii ka nina dedi

Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka orosho orosho

Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka orosho orosho

Kuna watoto waite na wajue Matiang'i
Wakuje waive kibangi
Wajue niko chingri na bado niko jagi
Wajue mi husiaga na sina tu kisiagi

Ukohoe ju mangeus wameninyonga
Na keroma ju amenipata na kipokosh
Umbwa koko pigwa moko
Washa koro no chain kimangoto

Niko local machedah niko mboka
Niko mbogi na home ni kwamboka
Niko dungi ukedi ni ma- aaah
Niko mogoka cheza kadi kwanza poker
Mpe boli kwanza soccer
Niko cheddah na kwanza niko doka
Niko mbuku zishike tu kwa locker
Ni kwa mbulu ati kwanza ameomoka
Piga nduru ati kwanza ameokoka

Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka orosho orosho

Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka orosho orosho

Nakohoa ju mamoshi zimeninyonga
Nakohoa ju mavela zimeninyonga
Ah nakohoa ju kinyaru kimeninyonga
Nakohoa ju kiwada kimeninyonga

Niko jaba na kamlambe kamekata
Siku ya saba na hizi kutu Ghai Fafa
Doh ya sadaka nilivuta yote shada
Mara kahaba nilimanga bila rubber

Ka wagethaka nina kanuthu rehe haha
Chupa kuchupa ita Delo oka haha
Hioria mathutha ikilandi choma thara
Nina mokuha nathobotha na nina dara
Nina mokuha nathobotha na nina dara

Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka orosho orosho

Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka (Aaah aaaah)
Ati leo mpaka orosho orosho

Ecouter

A Propos de "Orosho"

Album : Orosho (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Feb 28 , 2020

Plus de Lyrics de BOONDOCKS GANG

BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl