Paroles de Mavitu Par BOONDOCKS GANG


Genge la Boondoksi

We ndo shikisha, nikichachisha
Nataka ndom nataka Keg we ni mapizza
Nikufilisha, Ex ni kulipiza
Nikuguzisha, rungu nikipuliza

Niko mashisha 
Nikushuka nao nao bila ma views
Niko magiza, jaba nayo nayo nayo nikumaliza
Fyeka, ao, ao, ao bila bakisha

Ati ule dem mcute na ako vi2
Ati ule chura mpole na ako vi2
Ati ule baze sponyo na ako vi2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2

Ju ako vi2, leo ameze p2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2
Ju ako vi2, leo ameze  p2
Seti ngale, ishash na hiyo ki2

Unanukia poa kwani umejipaka nini?
Unakaa poa kwanza ukidunga mini
Kam thru' manze mi siwezi kosa kiki
Dem anaringa baadaye anapigwa miti

Cheki mambichwa, kuseti lazima
Skimbi akidai dick mi nazamisha
Madredi kwa kichwa, makali lazima
Ka-whiskey kakikam thru' lolo atameza

Niko kitu, mi niko kutu
Njugu zikisha land rausha hiyo rungu
Niko kitu, mi niko kutu
Njugu zikisha land rausha hiyo p2

Ju ako vi2, leo ameze p2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2
Ju ako vi2, leo ameze  p2
Ju ako p2, leo apigwe ki2

Ati ule dem mcute na ako vi2
Ati ule chura mpole na ako vi2
Ati ule baze sponyo na ako vi2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2

Ju ako vi2, leo ameze p2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2
Ju ako vi2, leo ameze  p2
Seti ngale, ishash na hiyo ki2

Ni Odi wa Murang'a kichwa mbaya aki walai
Nimekatiwa na Huddah nakataa naendea malaya
Ju hizi mavitu mi huvuta ni za hii ma Himalayas
Niwie radhi sina ugonjwa na niko madawa

Niko ka jing jong, washa ngiams nidare sai
Na ka ni nginyo mi nitawatch na Wamboi
Na ka ana dimples, kako jaba mi nitakakiss
Kateme taxin, kumeza lolo sindio routine

Na kakinyongwa hizo ma Kegs si kata-sip
Na rungu yangu strong ni kama tyre za ma-Jeep
Wakam na hizo thong ju leo ni ngono na mugithi
Na kama una turi, pewa jug iko nini?

Muratish na wale Wakali Wao sio nyinyi
Na ule peddy wangu mjenge hizo Konyagi mbili
Zake zishike ziraruke asahau ile deni
Zake zishike ziraruke asahau ile deni

Ati ule dem mcute na ako vi2
Ati ule chura mpole na ako vi2
Ati ule baze sponyo na ako vi2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2

Ju ako vi2, leo ameze p2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2
Ju ako vi2, leo ameze  p2
Seti ngale, ishash na hiyo ki2

Niko rada ya kuseti kajing na kajong
Zimenyanya zikishika ni kiriz na kindom
Eastlando kuna form ya kudandia kerosh
Cheki ngeus amejaza ako bash ya Umo

Nilifanya dem yako afunge duka
Seti shash, utahitaji tu mashuksha
Naeza guza hadi chami ikue busaa
Zimeraru na matawi za aluta

Cheki rada ya mmbleina ni laputa
Nimerende na huyu dem ana thutha
Nimechora plan ya Getho hadi Runda
Nikiball walai bana utanimunda

Vile hadi mempi nalipunda
Na forbidden utajua nina tunda
Na forbidden utajua nina tunda
Nina tunda, nina tunda

Ati ule dem mcute na ako vi2
Ati ule chura mpole na ako vi2
Ati ule baze sponyo na ako vi2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2

Ju ako vi2, leo ameze p2
Ju ako vi2, leo apigwe ki2
Ju ako vi2, leo ameze  p2
Seti ngale, ishash na hiyo ki2

Ecouter

A Propos de "Mavitu"

Album : Mavitu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019 Black Market Records.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jun 26 , 2019

Plus de Lyrics de BOONDOCKS GANG

BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG
BOONDOCKS GANG

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl