BEST NASO Nilie vipi Kayombo cover image

Paroles de Nilie vipi Kayombo

Paroles de Nilie vipi Kayombo Par BEST NASO


Sitasahau mwaka 2007 nikiwa mtaani nasota sota
Tumechoka kama chokoraa
Na mwanangu wa damu chifu maker
Ukaona bora utusaidie

Ulipogundua vipaji vyetu ukapigana kwa moyo na roho
Ukatukutanisha na Dj Rwarumu
Wimbo wetu wa kwanza uliitwa "Zaina"
Na waTanzania wakaupokea 
Wimbo wetu wa pili uliitwa Tuma
Tuma ringa ndo ikatoboa 
Na maisha yakachange kidogo
Walotudharau wakapungua 
Tukajivunia Kayombo
Na kila ofisi tukaingia tukavimba tukatamba sana

Wasio tujua wakatujua 
Show yangu ya kwanza ilikuwa Congo
Ulifurahi sana ukaniambia
Naso kwa sasa umekuwa

Ongeza bidii usijepotea
Wakati huo wimbo ni mwamada
Ninafanya hapo mtaaani nalia 
Niliporudi Congo hatukuchelewa
Tukaachana rudi kijijini

Ikawa balaa tukajipongeza mate bila nakotra
Na viwanja vyote Musoma
Muda wote ulipenda kucheka
Sitosahau tulipokuwa na Bongo

Na marafiki Kevin na Mapambano
Eti hatutakuona tena
Dunia kwangu naona imekuwa mzigo
Mchoraji mwenzangu ni wewe Kayombo

Hivi ni nani nitamtaja tena
Moyo wangu umejaa simanzi kuondoka
Baba yangu mlezi 
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi
Tutakukumbuka, tutakuenzi

RIP Kayombo Doctor

Ecouter

A Propos de "Nilie vipi Kayombo"

Album : Nilie vipi Kayombo (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jun 29 , 2021

Plus de Lyrics de BEST NASO

BEST NASO
BEST NASO
BEST NASO
BEST NASO

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl