BEKA FLAVOUR Hapa Kazi Tu cover image

Paroles de Hapa Kazi Tu

Paroles de Hapa Kazi Tu Par BEKA FLAVOUR


Hey eeh CCM, hapa kazi tu
Hapa kazi tu

Kama kinda la ndege 
Nimetuliza na CCM nyumbani
Ona wale banduku wanahanya hanya
Kule vyama pinzani

Umelipata jembe 
Limefukia mashimo yote jamani
Wanatetemeka
Magufuli hanaga upinzani

Tena, habagui kabila 
Jinsia wala dini
Wote sawa 
Wale matajiri na sisi masikini

Kajenga na barabara za chini na juu
Kama zote
Usafiri wa mabawa wa Tanzania
Safiri kokote

Sasa huduma za afya vijijini kibao
Kibao kibao
Kaongeza na madarasa na waalimu kibao
Kibao kibao

Magufuli kweli chata wenye chuki kivyao
Kivyao kivyao
Mafisadi wamechacha we ndo kiboko yao
Yao

Wakikutia doa tutakusafisha Magu(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)
Wakikutia doa tutakusafisha Magu(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)

Kwanza wenye vyeti feki
Umewapanguza aheee
Kwenye kazi hucheki
Unakunja ndita

Wakina mama umewapiga jeki
Kwa kuwawezesha
Wenye midogo mitaji
Ushuru umefuta

Umejenga reli ooh 
Standard gauge mwendo kasi
Daraja la ferry ooh 
Bandari zetu mambo safi

Nani nani nani eeh
Asiyekupenda Magu eeh
Kweli kazi uliofanya
Umefanya uchumi upande kasi eeh

Magu Magufuli eeh
Asiyekupenda ni nani baba
Hapa kazi tu
Tanzania ije kuwa kama mbele

Sasa huduma za afya vijijini kibao
Kibao kibao
Kaongeza na madarasa na waalimu kibao
Kibao kibao

Magufuli kweli chata wenye chuki kivyao
Kivyao kivyao
Mafisadi wamechacha we ndo kiboko yao
Yao

Wakikutia doa tutakusafisha Magu(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)
Wakikutia doa tutakusafisha Magufuli(Haya haya)
Wenye chuki na wewe watapata taabu(Haya haya)

Nihame niende wapi?
CCM najinafasi
Magu baba ongeza kasi
Wale wapate wasiwasi

Nihame niende wapi?
CCM najinafasi
Mama Samia ongeza kasi
Wale wapate wasiwasi

Nihame niende wapi?
CCM najinafasi
Majaliwa ongeza kasi
Wale wapate wasiwasi

Ecouter

A Propos de "Hapa Kazi Tu"

Album : Hapa Kazi Tu (Single)
Année de Sortie : 2019
Copyright : (c) 2019
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Nov 18 , 2019

Plus de Lyrics de BEKA FLAVOUR

BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR
BEKA FLAVOUR

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl