Paroles de Taniua Par BAHATI


Mmmh, EMB Records
Odi wa Murang'a mmmh
Genge la Boondoksi
Na Baha taniua mmmh

Masherehe(Taniua)
Hizi kiherehere(Taniua)
Dhambi zangu(Taniua)
Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Rieng priest naskia unaitwa Baha
Ju si ni wazing utatuskia hatunaga baha
Ju ka ni jing zimeshika mara kadhaa
Labda niache mchuma nikaseti kwanza wada
Labda niache pupa nikachome kwanza shada
Labda niache chingri nisitupe kwanza rada
Ama nikateke wale siz wa ibada

Kuna matym natamani chana
Aaah eeh kuchana
Temptation kiu ya thiang'a
Aaah eeh ya thiang'a

Injili yangu inapingwa sana
Aaah eeh inapingwa sana
Wakinicheki na Odi wa Murang'a
Aaah eeh 

Masherehe(Taniua)
Hizi kiherehere(Taniua)
Dhambi zangu(Taniua)
Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Walai walai, mashada fangi gani
Kamande wa Kioi, tupa gospel hewani
Mtoto wa mama before tuanze nina swali
Kwa kesi ya mbinguni unaeza nitetea kweli?

Mgenge ni mgenge for real(For real)
Na njege ni njege for real
Ka ushai backslide mi najua unanifeel
Sijai toa tithe na mi hukuliwa na guilt

Odi huku ni mapitio ooh
Majaribio ooh 
Umetoka mbali tega sikio ooh
Na leo tuko studio

Masherehe(Taniua)
Hizi kiherehere(Taniua)
Dhambi zangu(Taniua)
Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Nilidai Holy water nikashika Jah
Warasta wote ukweli wameumbwa na Sir Jah
Holy communion mi huziletanga na jug
Ex wangu husema eti labda umenidump

Da, da labda uko done
Ba, ba labda niko bar
Ni kuthokia ju labda niko bank
Illumi sema ati labda hii sasha bank

Gun gun huskii nina gun
Ju leo Mtua anauliza kama ataban
Bang bang washa washa bang
Bang turn washa washa burn

Masherehe(Taniua)
Hizi kiherehere(Taniua)
Dhambi zangu(Taniua)
Aki we utaniua aah

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Kesho ni zaidi ya today
Mbona unakaa unauliza mbona?
Mbona mawazo ya today
Jana ulichana sasa ni hangover

Tuna craving ya, neno la Bwana
Bikra Maria tupe rehema
Tuna craving ya, neno la Bwana
Bikra Maria tupe rehema

Ecouter

A Propos de "Taniua"

Album : Taniua (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : © 2020 EMB Entertainment.
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Feb 10 , 2020

Plus de Lyrics de BAHATI

BAHATI
BAHATI
BAHATI

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl