
Paroles de Walete
Paroles de Walete Par AMBER LULU
Mimi moyo watetema
Hadi nashindwa kuhema
Umenishika mie
Umenishika pabaya
Moyo unataka kusema
Mdomo nao unanong'ona
Umenifanya mie
Umenifanya pabaya
Bora wewe
Mwenzako mie sijiwezi
Umenipa nini?
We Amber mie sijiwezi
Baba nyonga vile unavyonyonga
Mikatiko flani ya kitanga
Polepole mwendo wa kinyonga
Napania navunja kitanda
Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Mwajuma Mwanjala, walete
Mmmmh walete
Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Kina Lokole Juma, walete
Mmmmh walete
Baibe, baibe
We ni wangu sikuachi ng'o
Baibe, baibe
Leta bomba tulijaze ndoo
Baibe, baibe
We ni wangu sikuachi ndoo
Baibe, baibe
Mimi kwako nimefika ndoo
Haya sugua gaga chekecha
Haba na haba komesha
Haya sugua baba pekecha
Yale madanga komesha
Baba nyonga vile unavyonyonga
Mikatiko flani ya kitanga
Polepole mwendo wa kinyonga
Napania navunja kitanda
Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Mwajuma Mwanjala, walete
Mmmmh walete
Kama wanataka, walete
Kushoto kulia, walete
Kina Lokole Juma, walete
Mmmmh walete
(Driss)
Fanya kama unamwaga
Fanya kama una-
Fanya kama unachekecha
Aya beiby beibe ifinye hiyo(Finya)
Aya beiby beibe izime hiyo(Zima)
Aya beiby beibe ifinye hiyo(Finya)
Aya beiby beibe izime hiyo(Zima)
Ecouter
A Propos de "Walete"
Plus de Lyrics de AMBER LULU
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl