BILLNASS Magufuli Ndo Baba cover image

Paroles de Magufuli Ndo Baba

Paroles de Magufuli Ndo Baba Par BILLNASS


Siku hizi hata vumbi hatulijui
Kila kona barabara hazisumbui
Magufuli na rushwa swara na chui
Amewafyeka mafisadi hawapumui

Tunadhubutu kusema ye ndo baba
Magufuli ni baba wa Tanzania viwanda
Tunadhubutu kusema we ndo baba
CCM ni baba wa Tanzania viwanda

Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama
Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama

Corona ilitufika na bado ilitushika
Akatuhimiza kuvaa maska na kadhalika
Vijijini kabisa na wanampa sifa
Amezijenga zahanati kwa uhakika

Kwanza watu wanafuata sheria na
Unatupenda si tunakupenda pia na

Hee, una kila sababu ya kupita tena
Una kila sababu
Hee, una kila sababu ya kupita tena
Una kila sababu 

Tunadhubutu kusema ye ndo baba 
Magufuli ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Tunadhubutu kusema we ndo baba
CCM ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama
Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama

Umeleta mwanga Tanzania
Natamani udumu hata miaka mia
Usafiri wa anga bombadia
Elimu bure, masikini wanasoma pia

Umetupa mwanga, umeme unawaka
Umetupa mwanga

By the way CCM moja namba
By the way wapinzani wanafyata
By the way umejenga madaraja 
Kiongozi bora mambo safi hadi sasa

Na by the way mama Samia anatubeba nguvu
Amedhihirisha wanawake pia wanaweza
Na by the way na Majaliwa anatubeba nguvu
CCM imara haiwezi kutetemeka

Tanzania bara
Visiwani kote pia CCM imara
Tanzania bara
Visiwani kote pia CCM imara

Tunadhubutu kusema ye ndo baba 
Magufuli ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Tunadhubutu kusema we ndo baba
CCM ni baba wa Tanzania viwanda 
(Una kila sababu )

Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama
Alright yeah, si kwako tutasimama
Alright yeah, kama unampenda simama

Ecouter

A Propos de "Magufuli Ndo Baba"

Album : Magufuli Ndo Baba (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 12 , 2020

Plus de Lyrics de BILLNASS

BILLNASS
BILLNASS
BILLNASS
BILLNASS

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl