ALI MUKHWANA Jinsi Nilivyo cover image

Paroles de Jinsi Nilivyo

Paroles de Jinsi Nilivyo Par ALI MUKHWANA


Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Naja Kwako
Jinsi nilivyo nipokee  

Baba nikikumbuka ulikonitoa
Ulinitoa mbali Baba eh
Nikulinganishe na nani Baba haulinganishwi
Siwezi siwezi bila wewe
Ndiposa nasema jinsi nilivyo naja kwako
Wewe ni mchungaji wangu
Wewe ni njia yangu ya uzima
Jinsi nilivyo Bwana nipokee
Bila wewe nitakuongee na nani
Bila wewe siyawezi eeh
Jinsi nilivyo Bwana nipokee  

Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Naja Kwako
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo nipokee  

Kila mwenye pumzi akuhitaji wewe
Kila ana uhai Mungu ana haja nawe
Kila mwenye pumzi akuhitaji wewe
Kila ana uhai Mungu ana haja nawe
Nami nina haja nawe Yesu
Jinsi nilivyo nakuhitaji tu
Nina haja nawee jinsi niliyo

Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo nipokee

Tunaungana na maserafi na makerubi
Jinsi nilivyo naja kwako
Nimejaribu Bwana wanadamu Baba
Wanadamu eeh wana mambo yao
Wananihukumu na kusema Baba
Mimi si wa haki eeh

Toka nikujue Mungu wangu
Umebadilisha maisha yangu
Tangu nikujue mwokozi wangu
Sijawai jutia

Nilipokupokea mwokozi Yesu
Sijawai juta hata siku moja
Kumbe kwako kuna faida
Kukujua ni muhimu sana
Naja mbele zako Baba

Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Nipokee

Ecouter

A Propos de "Jinsi Nilivyo"

Album : Jinsi Nilivyo (Single)
Année de Sortie : 0
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Dec 21 , 2020

Plus de Lyrics de ALI MUKHWANA

ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA
ALI MUKHWANA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl