ADASA Tunaendana cover image

Paroles de Tunaendana

Paroles de Tunaendana Par ADASA


Maradhi ya moyo yamekwisha ayee
We ndo doctor unaye nipa tiba
You are a gentleman umenikosha
Kileleni wewe hunifikisha, ayee eh

Yuko juu wewe uko mnjanja
Chali zimekolea kolea wangu mwilini
Naelewa mabusu tu chai ya mtoto mchanga
Utamu kolea kolea mmmh

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)
Mimi na wewe (Tunaendana)

Hata nyota zetu (Tunaendana)
Mia kwa mia (Tunaendana)
Na tabia zetu 
Mimi na wewe 

Umewaka cheche umewaka moto
Wameshindwa kuzima
Nyota utete, tete
Nibebe nikubebe tusiachane 
Mimi wako mazima

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tunaendana (Wala siwezi kukukana)
Tunaendana (Mi nawe tunaendana)
Tunaendana (Oooh tunaendana)
Tunaendana (Mama eh eh eh)

Tunaendana (Oooh tunaendana)
Tunaendana (yea ii)
Tunaendana (Tunaendana)
Tunaendana

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tamu yako pi pi pi
Haishiki hofu nikimumunya
Mwendo wako che che che
Napendaga usiku ukinikuna

Tunaendana, tunaendana
Tunaendana, tunaendana
Tunaendana

Ecouter

A Propos de "Tunaendana"

Album : Tunaendana (Single)
Année de Sortie : 2020
Copyright : (c) 2020
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Apr 20 , 2020

Plus de Lyrics de ADASA

ADASA
ADASA
ADASA
ADASA

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl