Paroles de Only You
...
Paroles de Only You Par ACKLEY TARO
Mola kweli kakuumba
Kakuleta duniani
Uwe wangu niwe wako
Aah tushagandana
Yaani kakupa tasilimia
Kakufundisha kwa njia
Kakupangia mpaka na nia
Aah yaani wee
Yaani moyo damu
Usihisi iih Twaendana
Hata akiingia ibilisi hatuwezi tengana
Wale wenye tamaa ya fisi watabanana
Watauma kwa ufizi wape banana
Yaani baby you I say you Baby you
Ahh tunaendana
Yaani baby you I say you Baby you
Ahh tunaendana
Tusubiri siku yetu yaani kaa
Tuombewe tukiwa tumekaa
Aibu itutoke my darling
Tuvuruge kwa furaha
Mimi na wewe
Yaani moyo damu
Usihisi iih
Twaendana Hata akiingia ibilisi hatuwezi tengana
Wale wenye tamaa ya fisi watabanana
Watauma kwa ufizi wape banana
Yaani baby you I say you Baby you
Ahh tunaendana
Yaani baby you I say you Baby you
Ahh tunaendana
Naona mwili unakwenda
Moyo nao hukomi kukonda
Na mawazo yanipimia
Ooh ma baby Mapenzi hayati haraka
Kama vile farasi
Kwenye kisima cha penzi
Usipokunywa lazima utalewa
Ila wangu azizi Kwako nishajipa leseni
Ooh ma baby
Only You only you Only you Only you
You captivate me
Only you Only you Only you
You make me feel alright
Yaani baby you I say you Baby you
Ahh tunaendana
Yaani baby you I say you Baby you
Tunaendana special dedication to you my love
You are my only one i promise to be with you
Now and even forever i love you
Ecouter
A Propos de "Only You"
Plus de Lyrics de ACKLEY TARO
Commentaires ( 0 )
Aucun commentaire pour l'instant
Vous aimeriez sûrement
Essayez l'application Mobile
A propos de AfrikaLyrics
Suivre Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl