Paroles de Subiri Par AALIYAH STEPHANE


Eeh Aaliyah, uko tayari?
Subiri (Kubwa)

Sasa anasa mi naogopa
Utanidanganya danganya mimi mwenzako
Unachotaka utakipata
Mapenzi ya wazazi yanatosha na sio yako

Kila siku kunitext, ati niko sexy mama
Changa changa umeona kiroo kimesimama
Mara ooh twende date, kwani huna haya bwana
Hunipati mi bado mdogo sijakomaa

Subiri we acha tamaa (Subiri)
Kwa sasa hayatanifaa (Subiri)
Subiri siwezi kupendana nawe
Subiri we acha tamaa (Subiri)
Kwa sasa hayatanifaa (Subiri)
Subiri siwezi kupendana nawe

Hatujui yupi ni mdogo yupi ni mkuu
Kuku wa breed analika kienyeji nafuu
Hizo destu aki hata shakira hakupati
Unakunjwa ungali mbichi samaki samaki

Hivi mama naona picha zile unapost Insta
Kizazi kile ambacho model Vera Sidika
Hakuna kuficha ficha ningechelewa misa
Enzi za E-Sir sa wakati maria akiwa bikra

Sasa kipi ambacho kinafanya unakataa
Kama bado muda mbona ukitungo unazaa
Bibi zenu walolea watoto wakakaa
Stori za under-age mbona zamani haikufaa

Tatizo unachosema sicho nacho tazama
Unapenda sana ila unaogopaga kufanya
Unapenda bata mnajua uchafu wote
Usiogope utavaa gumboots kwenye matope

Subiri we acha tamaa (Subiri)
Kwa sasa hayatanifaa (Subiri)
Subiri siwezi kupendana nawe
Subiri we acha tamaa (Subiri)
Kwa sasa hayatanifaa (Subiri)
Subiri siwezi kupendana nawe

Sina muda wa kupoteza, (Subiri) poteza
Acha niende kaka
Unajiongeza ukinitongoza, (Subiri)  tongoza
Ila hautonipata

Sidanganywi na pesa, tamaa ije kunitesa
Ooh naogopa presha, mawazo na kukesha
Sidanganywi na pesa, utanitesa
Ooh naogopa presha, mawazo na kukesha

Subiri we acha tamaa (Subiri)
Kwa sasa hayatanifaa (Subiri)
Subiri siwezi kupendana nawe
Subiri we acha tamaa (Subiri)
Kwa sasa hayatanifaa (Subiri)
Subiri siwezi kupendana nawe

 

Ecouter

A Propos de "Subiri"

Album : Subiri (Single)
Année de Sortie : 2021
Copyright : (c) 2021
Ajouté par : Huntyr Kelx
Published : Jul 06 , 2021

Plus de Lyrics de AALIYAH STEPHANE

AALIYAH STEPHANE

Commentaires ( 0 )

Aucun commentaire pour l'instant



A propos de AfrikaLyrics

Afrika Lyrics est la plus large collection de paroles de chansons et de traductions d’Afrique. Afrika Lyrics fournit les paroles des musiques de plus de 30 pays africains et des traductions de lyrics de plus de 10 langues africaines en français et en anglais.

Suivre Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl