Unyama Lyrics by FEZA


Imekuwa kama movie
Me na we hadi tumekuwa pamoja eeh
Bila kushiza miruzi
Ya majirani na mashoga zangu

Nilipata vi some news
Kuhusu wewe vikanitia uwoga eeh
Habari za kutisha tisha
Ningeziendekeza ningechachisha mboga

Ningejaji kitabu bila kusoma ndani
Pengine hayaa yote nisengeyaona
Tangu dereva nkukabidha usukani
Unavyoyoendesha sijapata ona
Eeh yale machungu nliyopitia
Umenifanya nipoteze kumbukumbu
Na sina tena idea
Nimesahau nilipotoka eeh

Eeh asa ukitaka kunichuna
Njoo nikupe kisu na mapanga eeh
Ama ukitaka kuniroga
Sema nikupe namba za waganga

Baby baby
Unanifanyia maunyama
Baby baby
Ndio maana kwako nimekwama
Baby baby
Unanifanyia maunyama
Baby baby
Ndio maana kwako nimekwama

Kuna wazushi walinambia unangoma
Nikawaambia ntaishiza kila kona
Nachokupenda kwenye penzi hauna formula
Unakichafua adikipofu anaona noma

Somebody told me umeni verify
Kwanza uko low key
Nakuzimia my gee
Navyokwambia sijuti toka tujuane
Napenda penzi na sio money
Ndo maana ukija home usiku wa manane
Nachukua tango tukatiane

Eeh asa ukitaka kunichuna
Njoo nikupe kisu na mapanga eeh
Ama ukitaka kuniroga
Sema nikupe namba za waganga

Baby baby
Unanifanyia maunyama
Baby baby
Ndio maana kwako nimekwama
Baby baby
Unanifanyia maunyama
Baby baby
Ndio maana kwako nimekwama

Watch Video

About Unyama

Album : Unyama (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jun 30 , 2023

More FEZA Lyrics

FEZA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl