ENOS RAJI Wasamehe (Remix) cover image

Wasamehe (Remix) Lyrics

Wasamehe (Remix) Lyrics by ENOS RAJI


Naona mawingu yanapita
Sawa na jua linawaka eeh
Siku nazo zazidi songa
Baba eeh

Mabaya nayo wanazidi tenda
Kila siku za kalenda
Hivi kiukweli inaniuma mimi

Mbona? Ila binadamu 
Hawakosi ya kwao kasoro
Anati- na hawataki kusikia neno

Ila binadamu 
Hawakosi ya kwao kasoro
Anati- na hawataki kusikia neno

Wasamehe Baba
Hawajui wanachofanya
Wasamehe Mola
Hilo ndilo ombi langu

Wasamehe Baba
Hawajui wanachofanya
Wasamehe Mola
Hilo ndilo ombi langu

Kuna yanoliza moyoni
Mengine makali shubiri
Tena yananiumiza kiundani
Ila Mola wangu ndo ananiamini

Wengine wamejawa na chuki
Hawataki niendelee kimziki
Kila kukikucha mitandaoni
Mbona Jah Rabbi

Mbona? Ila binadamu 
Hawakosi ya kwao kasoro
Anati- na hawataki kusikia neno

Ila binadamu 
Hawakosi ya kwao kasoro
Anati- na hawataki kusikia neno

Wasamehe Baba
Hawajui wanachofanya
Wasamehe Mola
Hilo ndilo ombi langu

Wasamehe Baba
Hawajui wanachofanya
Wasamehe Mola
Hilo ndilo ombi langu

Wacha mapenzi yako yatendeke
Fadhili zako zitulinde
Na wema wako utufuate

Wacha mapenzi yako yatendeke(Ndeke)
Fadhili zako zitulinde(Linde)
Na wema wako niuone

Wasamehe Baba
Hawajui wanachofanya
Wasamehe Mola
Hilo ndilo ombi langu

Wasamehe Baba
Hawajui wanachofanya
Wasamehe Mola
Hilo ndilo ombi langu

Watch Video

About Wasamehe (Remix)

Album : Wasamehe (Remix) (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Safri Records.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 04 , 2019

More ENOS RAJI Lyrics

Upo
ENOS RAJI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl