Mara Mia Lyrics
Mara Mia Lyrics by ELANI
Sitakuomba, ubaki na mimi
Oh oh Ooh
Sitakuomba
Umenipotezea muda
Nakupenda lakini
Oh oh ooh
Sitakuomba
Juu mimi hapa ninavumilia
Uchungu nausikia
Na Mola atanipa subira
Mimi hapa ninavumilia
Uchungu nausikia
Na Mola atanipa subira
Mara Mia nilikupigia
Ukirudi nitashangilia
Bado mimi ninakungojea sana
Ninakungojea sana
Mara Mia nilikupigia
Ukirudi nitashangilia
Bado mimi ninakungojea sana,
Ninakungojea sana
Whoa whoa whoa
Whoa whoa
Yeah
Siku nyingi zimepita
Moyo wangu wakungoja
Si ningezaliwa kwingine
Ningalipenda mwengine
Siku nyingi zimepita
Kwa majirani najificha
Si ningezaliwa kwingine
Ningalipenda mwengine
Juu mimi hapa ninavumilia
Uchungu nausikia
Na Mola atanipa subira
Mimi hapa ninavumilia
Uchungu nausikia
Na Mola atanipa subira
Mara Mia nilikupigia (Kupigia, kupigia)
Ukirudi nitashangilia (Shangilia, shangilia)
Bado mimi ninakungojea sana
Ninakungojea sana
Mara Mia nilikupigia (Kupigia, kupigia)
Ukirudi nitashangilia (Shangilia, shangilia)
Bado mimi nina-
(Kwani huoni na, kwani huoni na, kwani huoni na)
Sikudhani utatoka, tulikuwa 'si pamoja
Nilijua ni forever
Sikudhani utatoka, tulikuwa 'si
Pamoja
Nilijua ni forever
Mara mia nilikupigia
Ungerudi ningeshangilia
Ni kweli mimi nilikungojea sana
Watch Video
About Mara Mia
More lyrics from Colours of Love album
More ELANI Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl