ECHO Yanini  cover image

Yanini Lyrics

Yanini Lyrics by ECHO


Kila siku nikusamehe
Unaniumiza ila ni sawa
Hadi mimi nina moyo
Unachanja na hupaki dawa mmmh
Uwaga unasema nisifate habari zao
Uwaga unasema wazushi wa mitandao
Kumbe mengine ya kweli wayasemayo
Unaniumiza wewe

You call me your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low
You call me your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low

Ulimwaga mboga Ila ugali naenda nao
Nilikupa moyo ila roho niache naayo oo mm
Hivi ya nini, ya nini, yanini mbona tutesane roho
Hivi ya nini, ya nini, yanini yanini unifanye kiporo
Hivi ya nini, ya nini, ama tu niwe mtoro

Mbona uniweke roho juu wakati nikipozaliwa sikuzaliwa na wewe
Alipoumbwa kila mmoja na ubavu wake bora angewekwa alama
Mapenzi safari ya wote ila cha ajabu kila mmoja ana stage yake
Huenda kwako sio chochote ila naamini yupo wangu ananingojea

You call me your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low
Your lover, kumbe hovyo
Na ukitoka unanisave battery low

Ulimwaga mboga Ila ugali naenda nao
Nilikupa moyo ila roho niache naayo oo mm
Hivi ya nini, ya nini, yanini mbona tutesane roho
Hivi ya nini, ya nini, yanini yanini unifanye kiporo
Hivi ya nini, ya nini, ama tu niwe mtoro

Watch Video

About Yanini

Album : Plus 254 (EP)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 03 , 2023

More ECHO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl