Naogopa Lyrics by ECHO


Nilivyojititimua penzi halua eti nimepata uwa
Akili nikaisumbua ninachokipika kumbe ndo kina ungua
Kumbe ananiona mentally, anafanya chochote wala hajali
Cha ndimu akakitia asali, muhogo akaufanya mboga kwa ugali
Mara anatoka ananiaga, mama anaumwa
Kumbe mwenzangu panya anapuliza anauma mmm
Wala hakua na huruma hakuona juhudi jinsi ninavyojituma

Najichomoa kwenye kirefu kina
Nashika shepe nalifunika na shina
Nahisi penzi let undo limesha chine, japo moyoni nililiandika jina
Najichomoa kwenye kirefu kina
Nashika shepe nalifunika na shina
Nahisi penzi let undo limesha chine, japo moyoni nililiandika jina

Ai, nimechoka naogopa aa, penzi la mikwara
Ai naogopa nimeloba, aaa penzi la mikwara
Ai, nimechoka naogopa aa, penzi la mikwara
Ai, nimechoka naogopa, penzi la mikwara

Ivi ni kweli ngombe wa masikini hazai
Nilidata nilikua ready me ku die
Ulizima data ukazima na wifi
Ukaniona zoba zumbukuku mu sifai
Mbele za watu we ukanitoa nishai
Pendo la kero yani kama mi nakudaaai
Asa moyo unatatarika ona eeh
Nakunia ndita ona eeh
Mapenzi yamenishinda ona eeh aaa aaah

Najichomoa kwenye kirefu kina
Nashika shepe nalifunika na shina
Nahisi penzi let undo limesha chine, japo moyoni nililiandika jina
Najichomoa kwenye kirefu kina
Nashika shepe nalifunika na shina
Nahisi penzi let undo limesha chine, japo moyoni nililiandika jina

Ai, nimechoka naogopa aa, penzi la mikwara
Ai naogopa nimeloba, aaa penzi la mikwara
Ai, nimechoka naogopa aa, penzi la mikwara
Ai, nimechoka naogopa, penzi la mikwara

Watch Video

About Naogopa

Album : Plus 254 (EP)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Aug 03 , 2023

More ECHO Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl