Konki Lyrics by DUDU BAYA


Vanny Boy… S2kizzy baby (yeah)
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki

Naitwa! Mamba! Dudu Baya, Oil chafu
Konki, konki, konki master

Walisha nibania na sichoki (konki)
Nang’ang’ania na sitoki (konki)
Na hiti hata kama si promote (konki)
Kwenye list nakutaja siogopi (konki)…
Kunta Kente kente
No managemente
Mambo yente yente mambo tente mente

Dudu baya oil chaku (konki)
Huwezi kuichafua (konki)
Mambaa… (konki)
Konki, konki, konki master

[HOOK]
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
 
Mziki unamashairi takataka
Mitaani wanataka kutoyaacha kata kata
Na ndo yanafanya tunatakataka kwa hiyo
Ukinyazuia yasije  vunja kitasa
Verse konki beat konki yani konki konki
Ni wasafi soma logo yani fonti fonti
Lijali konki dume konki show konki konki
Uje ghetto mi ni punda yani donkey donkey
Walichimba shimo refu wafukie (wafukie)
Interview ngoma zetu zisile
Show zao wakagoma tutulie
Lengo lao tuchakae tufulie
Basi mungu acha atupiganie
Ngoma zetu hadi kwa mama ntilie
Boda boda na bajaji zetu sie
Na show zinajaa acha watushangilie
Wasifi (Konki) Vannyboy (Konki)
Tumeshazoea lawama ndio
Wasafi (Konki) Vannyboy (Konki)
Bendera la chama la wana hiyo

[HOOK]
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki
Konki, Konki, Konki Master, Konki

 

Watch Video

About Konki

Album : Konki (Single)
Release Year : 2018
Added By : Afrika Lyrics
Published : Nov 23 , 2018

More DUDU BAYA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl