DOGO CHARLIE Utawezana Parody cover image

Utawezana Parody Lyrics

Utawezana Parody Lyrics by DOGO CHARLIE


Dogo Charlie cheki vile nimeiva (Wacha)
Na vile mi hukuwa nimekubamba 
Aaah avocado pia kwangu we ni msoo
Kwanza vile uchafua ile verse ya Njaanuary eeh

Ilibidi manze sisi ni watamu (So tasty)
Blueband tena ile herbal (Ahh)
Story za herbal kwanza wekwa chumvi
Kwa githeri mi hukuwa nimekutamani

Ehh we Dogo anza kunikula (Wazi)
Nishow ni lini ulinionja (Ahh)
Avocado ehh we hunisotesha
Kwa soko huko kwa mama mboga

Dogo Charlie kunikula utawezana (Nitawezana)
Na lockdown utawezana (Nitawezana)
Manze avocado nakutaka
Nitakukula vile Saf hunyonya bundle, ahh

Dogo Charlie kunikula utawezana (Nitawezana)
Na lockdown utawezana (Nitawezana)
Manze avocado nakutaka
Nitakukula vile Saf hunyonya bundle, ahh

Iko ladha yako iko
Napenda kukula na kijiko (Ehehem)
Dogo unaweza kunifinyaa
Ukitaka kunikula kula faster

We ukijua vile nitakupasua (Ahh)
Mi nataka kukula mpaka nishindwe kutembea ahh
Haki Charlie nimeanza kuogopa
Na ukishiba usisahau kutangaza

Ah hiyo usijali (Sawa) nitatangaza
Nitaambia watu sitaambia tu Landlord
Haina noma leo utanikula
Na mbegu ka ni ndogo sichoke kuntafuta, aahh

Dogo Charlie kunikula utawezana (Nitawezana)
Na lockdown utawezana (Nitawezana)
Manze avocado nakutaka
Nitakukula vile saf hunyonya bundle, ahh

Dogo Charlie kunikula utawezana (Nitawezana)
Na lockdown utawezana (Nitawezana)
Manze avocado nakutaka
Nitakukula vile saf hunyonya bundle, ahh

Napenda kulwa na ugali mboga (OK)
Nikicheki menu yako hapana
Avocado hii ni supu moto motoo
Ni supu tu lakini haina kakitu

Ah nataka kujipata kwa sahani
Ah nitakumeza kwani iko nini 
Ah basi anza kupakua hiyo stew
Ah sisiti nitakugawa into two

Ondoa mbegu (Ok) toa ngozi (Ahaa)
Bora ushibe na unilambe mgongo
Ahh nakudai ju umetoka market
Na we ni Avocado AVOCADO DODO!!

Dogo Charlie kunikula utawezana (Nitawezana)
Na lockdown utawezana (Nitawezana)
Manze avocado nakutaka
Nitakukula vile saf hunyonya bundle, ahh

Ahh ni Dogo Charlie
Mfalme wa Parody
Aaah Wizly WizBoy waambie
035 Kericho

Niko na shati ya Okwonko!

Watch Video

About Utawezana Parody

Album : Utawezana Parody
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Layon Media.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 12 , 2020

More DOGO CHARLIE Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl