
Kijito cha utakaso Lyrics
Kijito cha utakaso Lyrics by DIANA SARAKIKYA
Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu
Bwana anao uwezo kunipa wokovu
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso
Viumbe vipya naona damu ina nguvu
Imeharibu uovu ulionidhulumu
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso
Ni neema ya ajabu kupakwa na damu
Na Bwana Yesu kumjua Yesu wa msalaba
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso
Kijito cha utakaso Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakas
Watch Video
About Kijito cha utakaso
More DIANA SARAKIKYA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl