DIANA BAHATI Hatutaachana cover image

Hatutaachana Lyrics

Hatutaachana Lyrics by DIANA BAHATI


Mapenzi tight ka kifuniko ya gas
My future bright si ni zaidi ya stars
Wanaosema tutaachana, sidanganyi watangoja sana
Yetu si ya Konde Boy na Kajala
Mapenzi za kujienjoy ya kifala
Ama kama Lilian na Governor
Vita za Chris Brown na Rihanna

Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu

Wenye roho chafu ni time wazioshe
Hatuwachani kama Jay na Beyonce
Hii ni key na deeper than the ocean
Hakuna kupima twapeana yote yote

Hii si sinema ni pingu za maisha
Sisi together ni mbingu ilipitisha
Wanawaza kutuput asanda
Watawaza akili zitaganda

Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu

Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa huwezi nunua

 

Watch Video

About Hatutaachana

Album : Hatutaachana (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 29 , 2021

More DIANA BAHATI Lyrics

DIANA BAHATI
DIANA BAHATI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl