Amini Lyrics by D NJIWA


Kuna vitu vya utani
Nilihisi kuogopa
Kukukosa maishani
Nilihisi kuogopa

Kuna vitu vya utani
Ila bado sikuchoka
Ati unakwenda unarudi
Unidanganye ati unaenda sokoni

Kumbe unafanya kusudi
Umepita na mwaka sikuoni
Leo bora umerudi
Unanifanya natabasamu usoni

Umerudi beiby nimepagawa
Ndo mwisho wa kuondoka
Ninogeshe beiby twende sawa
Mi sitochoka

Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 
Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 

Nilikukumbuka saa
Jitahidi ongezea ata zaidi ingawa
Sijashiba umeshanawa
Njoo uniongeze inikolee dawa

Nikiwa na wewe 
Nipakulie mwisho nitapikie dawa
Usiwe na wengi
Nikupikie mpaka utulie sawa

Umerudi beiby nimepagawa
Ndo mwisho wa kuondoka
Ninogeshe beiby twende sawa
Mi sitochoka

Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 
Amini, we ndo sababu ya mi kuumia
Amini, mi nateseka unanionea 

Watch Video

About Amini

Album : Amini (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 28 , 2019

More D NJIWA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl