Ouch Lyrics by CURY MATATA


You took a note never leave my side
Tutakuwa pamoja forever and ever baby boy
So why do this to me, umeniwacha na makovu
Jeraha na vidonda na machungu
Sitaridhia baby boy

Siri za chumbani unaziweka hadharani
Kama mtumba Gikomba
Yangu roho unaichana chana
Magoli sumu unawapa nafasi waniteke

Nikiona ukitembea na yule
Ukicheka na yule, aah
Unani ouch unaniumiza aah

Unani ouch!! unaniumiza
Ouch!! unaniumiza
Unani ouch!! unaniumiza
Baby 

Unani ouch!! unaniumiza
Ouch!! unaniumiza
Unani ouch!! unaniumiza
Baby 

Hee, I got a photographic memory
Nakumbuka ukiniahidi utanipenda yako yote
Siku zote

Nikaacha wengine juu yako baby
Why do this to me, ooh oh
Baby eeiyee, oh no oh no
Baby

Si uliniahidi kujitenga nao
Ila ushanigeuzia mbona yawe haya
Unanicheza hata bila haya

Si uliniahidi kujitenga nao
Ila ushanigeuzia mbona yawe haya
Unanicheza hata bila haya

Unani ouch!! unaniumiza
Ouch!! unaniumiza
Unani ouch!! unaniumiza
Baby 

Unani ouch!! unaniumiza
Ouch!! unaniumiza
Unani ouch!! unaniumiza
Baby 

Watch Video

About Ouch

Album : Ouch (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 08 , 2021

More CURY MATATA Lyrics

CURY MATATA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl