Next Lyrics by CHRIS KAIGA


Kaa rada mtu asipite na wako

Kuna kadem nilikapataga ka saba
Sijawai muona bila weave yawa(Next)
Huyu mwingine hunitext bed hour
Na si kwa ubaya but the boy asha-tire(Next)

Pata dem ako flat vi excess 
Muko same mkivalia mavest(Next)
Niko oh nasingedai hizo mseti
To the left, to the left that's West(Next)

Si vibaya matym kuwa unalewa
But kumbuka pia bado hujaolewa(Next)
Hatukatai sura ulipewa but
Pande ya tabia -- hewa(Next)

Ni nani yule kando ya meza?
Oooh natural ameguzia tu makeup
Aki ya nani si anatesa 
Pigia mzazi umwambie nimependa

Lakini analenga nimetry kumhalla
But bado analenga
Na vile amweweza,
Anyway on to the next one

Next nimesema next
Who is next? Who is next?
Next next, who is next? 
Next? nimesema next

Akinicheki anapiga mahesabu
Ni kama yeye ni mwalimu wa thafu(Next)
Anaringia ugali na managu 
Na home anakulanga sembe kavu(Next)

Alinishow I don't do matatu's
Si kidogo amalize sole za viatu(Next)
Jana nimemtumia fare ka mara tatu
Na bado hata hajafika kwangu(Next)

Kwa Instagram ameweza but in person
Vitu huwa different kwa grao(Next)
Bila make-up anakaa ka bratha yangu
Asipopaka nitaambia nini watu?(Next)

Ni nani yule kando ya meza?
Oooh natural ameguzia tu makeup
Aki ya nani si anatesa 
Pigia mzazi umwambie nimependa

Lakini analenga nimetry kumhalla
But bado analenga
Na vile amweweza,
Anyway on to the next one

Next nimesema next
Who is next? Who is next?
Next next, who is next? 
Next? nimesema next

Watch Video

About Next

Album : Next (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Feb 14 , 2020

More CHRIS KAIGA Lyrics

CHRIS KAIGA
CHRIS KAIGA
CHRIS KAIGA
CHRIS KAIGA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl