CHIDI BEENZ Beautiful cover image

Beautiful Lyrics

Beautiful Lyrics by CHIDI BEENZ


Yeah yeah yeah yeah..
I'm feeling nice

Once upon a time hii hadithi yake
Kama mziki mtamu kwenye speaker yake
Kufunziwa rhymes kwenye sauti yake
Mikato michuz mwenye utash wake

Wanataka kuconfuse penzi langu kwako
Wanakesha na miuzi wanaketi vitako
Mikutano ya kipuzi mi ndo nyota yako
Kama jana kama juzi yeah ndo michapo

Mi super duper fly kichupa cha duka
Umeninyonga kama tai kush meditation
Najifeel kula dry, ha ha hey say say
Say hey butterfly

Mami chikita chikita wee, we mrembo wee
Tingisha tingisha ti body lako wewe
Kimbiza kimbiza ha-ha-hakuna kama wewe
Kimbiza -- mwaaah

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Hello Jane, hello Mary hello miss Carolina
Hello Emmy, hello Emily, hello Christina
OG sio kama zile fake, zile za kutoka China
Fresh mpaka jina yeah...

Love me love me Mr Bombastic
Very fantastic ukilala nasty
Hey hey hey hey sexy lady
Hey hey hey hey sexy beiby

I'ma pull it down, we go down beiby
Let's get it down, lets rock beiby

Mami chikita chikita wee, we mrembo wee
Tingisha tingisha ti body lako wewe
Kimbiza kimbiza ha-ha-hakuna kama wewe
Kimbiza -- mwaaah

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Beautiful, hello mami beautiful
We ndo unanirusha roho
Beiby give me some more
Beiby give me some lalalala

Watch Video

About Beautiful

Album : Beautiful
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 25 , 2020

More CHIDI BEENZ Lyrics

CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ
CHIDI BEENZ

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl