Nafuta Lyrics by CARLIE BRONZE


Umenifanya pawaza huwa na comment swali ama naulizaga jiku
Najiona mpumbavu ah najiona mjinga
Maana hata nikiview hata nikituma meseji kwako
Haupokei hata nikikupigiaaaa
Natena kinachofanya niumie status zako jamaa
Sijui hawa unaniandikiaga mie, naumiaga sana
Ila ndo vile mwenzako mi kusemasema siweziii
Naona poaaa bora nikuache salaama

Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Oolala lila lila lah
Oolala lila lila lah

Naumeniacha adaani mie
Umeniacha taabani mie
Aka sionii nilipokoseaaaa, uuuuhh
Ila ka ukipata huruma kidogo unipigieeee
Ila ka utauchuna ntaona fresh tu usiniwaziee
Maana sijawahi hata postika
Simbembelezwi hata dakika
Sio kwa voice tu kastika sijawahi tumiwaa
Video call unajificha
Oh mara ghafia imekatika
Ulinionea mi sikuongea
Natena kinachofanya niumie status zako jamaa
Sijui hawa unaniandikiaga mie, naumiaga sana
Ila ndo vile mwenzako mi kusemasema siweziii
Naona poaaa bora nikuache salaama

Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Sitokutafuta tenaaa (Oolala lila lila lah)
Usinitafute tenaaa (Oolala lila lila lah)

Watch Video

About Nafuta

Album : Nafuta (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Apr 23 , 2022

More CARLIE BRONZE Lyrics

CARLIE BRONZE
CARLIE BRONZE
CARLIE BRONZE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl