Wema Wako Lyrics by BLESSED PAUL


Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha

Bwana Yesu wangu nakupenda toka jadi
Wema wako Bwana umenifanya niwe hai
Bwana Yesu wangu nakupenda toka jadi
Wema wako Bwana umenifanya niwe hai

Umenipa sauti naimba
Umenipa uhuru nanena
Neno lako chakula cha roho
Wema wako ni tele tele tele ai

Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha

Ulikufa msalabani nafsi yangu kapona
Hata leo ninakiri kwamba wewe ni Bwana
Ulipigwa pigwa, ukateswa teswa wema wako ajabu
Ulipigwa pigwa, ukateswa teswa wema wako ajabu

Umenipa sauti naimba
Umenipa uhuru nanena
Neno lako chakula cha roho
Wema wako ni tele tele tele ai

Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha

Unaponya, Yesu wangu we wapendeza aha
Waongoza njia zangu zote nakupenda aha
Minapenda kuimba, minapenda kusifu
Minapenda kucheza, nakupendaa..
Aram tapa tapa minapenda vitu mingi
Hata kutaja nashindwa
Bila ule wema wako ningekuwa kitu bure 
YESU nakupenda ah ah

Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha
Baba, wema wako ni tosha

Watch Video

About Wema Wako

Album : Wema Wako (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2021 Klassik Nation
Added By : Don Santo
Published : Jan 29 , 2021

More BLESSED PAUL Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl