Ile Kitu Lyrics by BENSOUL


Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu
Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu

Fanya ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu
Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu

Ile kitu iko na kitu
Inanifanya niskie niko mavitu
Ukiendelea utasimamisha jitu
Nifanye vile mimi hufanyia chipo mwitu

Uko na swali niko na jibu
Reggea rhumba yes me too
Nguo see-through I can see you
Mambo yangu yeah

And I know, and I know yeah
Umekuja ukiwa commando
Ukinishika sitasema No
Oooh no

On the low, on the low oh-oh
Nimekudigi toka kitambo
Zikishika basi let us go 
Let's go

Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu
Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu

Fanya ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu
Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu

Mwanaume akiridhika amesharidhika
Na pahali tumefika umeshanizika
Umeshanishika, zimeshanishika
Najua bila wewe mimi sijakamilika

You are painting love unavyotingika 
Fimbo imerise jasho inamwagika
Umeniweka kwenye zone
I wanna be with you yeah

And I know, and I know yeah
Umekuja ukiwa commando
Ukinishika sitasema No
Oooh no

Cz on the low, on the low oh-oh
Nimekudigi toka kitambo
Zikishika basi let us go 
Let's go

Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu
Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu

Fanya ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu
Ile kitu wewe hufanya 
Inafanya niskie kufanya ile kitu

Watch Video

About Ile Kitu

Album : Ile Kitu (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Sol Generation.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 02 , 2019

More BENSOUL Lyrics

BENSOUL
BENSOUL
BENSOUL
BENSOUL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl